Habari Za Un
UNDP yasaini makubaliano kuwezesha wanawake wasanifu majenzi Tanzania
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:03:21
- More information
Informações:
Synopsis
Katika kuunga mkono lengo namba 9 la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kuhusu miundombinu na ujenzi wenye mnepo, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP nchini Tanzania, limeingia makubaliano ya kimkakati na Taasisi ya wanawake wasanifu Majenzi, TAWAH, kwa ajili ya kuboresha sekta ya ujenzi. Makubaliano hayo yaliyowekwa saini Aprili 8, 2026, yanalenga kutambua madini ya ujenzi na viwandani yaliyosahaulika, kukuza ujenzi usioharibu mazingira na kuwawezesha wanawake kiuchumi. Rashid Malekela na taarifa zaidi.