Jua Haki Zako

Uganda : Uchaguzi raia wanafahamu haki zao

Informações:

Synopsis

Uchaguzi nchini Uganda, unatarajiwa kufanyika mwezi  January, Rais Museveni akichuana tena na Hasimu wake wa kisiasa mwanamziki aliyeukia siasa, Bobi Wine. Skiza makala haya kufahamu mengi.