Habari Rfi-ki
Kenya : Maandamano yatumika kupora mali
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:52
- More information
Informações:
Synopsis
Maandamano nchini Kenya na mataifa mengine ya Afrika yamekumbwa na mauaji na uporaji huku mali za watu zikiharibiwa. Je, unafikiri ni sahihi kwa waandamanaji kupora na kuharibu mali za watu? Nini vyombo vya usalama vinapaswa kufanya kuzuia uharibifu? Haya hapa baadhi ya maoni yako.