Habari Za Un
UN: Mshikamano na wakimbizi uwe kwa vitendo na si maneno matupu
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:45
- More information
Informações:
Synopsis
Leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani, mwaka huu ikibeba maudhui “Mshinamano na wakimbizi” na Umoja wa Mataifa umetaka mshikamano huo kwa vitendo wakati idadi ya watu wanaolazimika kufungasha virago na kukimbia makayo yao ikifikia kiwango cha kihistoria. Flora Nducha na taarifa zaidi